2 Mambo Ya Nyakati 11:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Rehoboamu alioa mke, jina lake Mahalathi binti Yeremothi mwana wa Daudi. Mama yake alikuwa Abihaili binti Eliabu, mwana wa Yese.

2 Mambo Ya Nyakati 11

2 Mambo Ya Nyakati 11:10-23