2 Mambo Ya Nyakati 10:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Rehoboamu alipuuza shauri la wazee na badala yake akashauriana na vijana wa rika lake ambao walikuwa washauri wake.

2 Mambo Ya Nyakati 10

2 Mambo Ya Nyakati 10:1-12