2 Mambo Ya Nyakati 10:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Baadaye, Rehoboamu alitaka kujua maoni ya wazee ambao walikuwa washauri wa Solomoni, baba yake, alipokuwa angali hai, akawauliza, “Je, mnanishauri niwape jibu gani watu hawa?”

2 Mambo Ya Nyakati 10

2 Mambo Ya Nyakati 10:1-13