1 Wathesalonike 5:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Watu watakapokuwa wanasema: “Kila kitu ni shwari na salama”, ndipo uharibifu utakapowaangukia ghafla! Mambo hayo yatatukia ghafla kama uchungu wa uzazi unavyomjia mama anayejifungua, wala watu hawataweza kuepukana nayo.

1 Wathesalonike 5

1 Wathesalonike 5:2-6