1 Wathesalonike 5:19-23 Biblia Habari Njema (BHN)

19. Msimpinge Roho Mtakatifu;

20. msidharau unabii.

21. Pimeni kila kitu: Zingatieni kilicho chema,

22. na kuepuka kila aina ya uovu.

23. Mungu mwenyewe anayetupatia amani awatakase nyinyi kabisa kwa kila namna na kuzilinda nafsi zenu – roho, mioyo na miili yenu – mbali na hatia yoyote wakati wa kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo.

1 Wathesalonike 5