1 Wathesalonike 4:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Maana patatolewa amri, sauti ya malaika mkuu, sauti ya tarumbeta ya Mungu, naye Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni. Ndipo wale waliokufa wakiwa wanamwamini Kristo watafufuliwa kwanza.

1 Wathesalonike 4

1 Wathesalonike 4:14-18