1 Wakorintho 9:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Je, mwanajeshi gani anayelipia utumishi wake jeshini? Mkulima gani asiyekula matunda ya shamba lake la mizabibu? Mchungaji gani asiyekunywa maziwa ya mifugo yake?

1 Wakorintho 9

1 Wakorintho 9:1-15