1 Wakorintho 9:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Je, hakuwa anatufikiria sisi aliposema hivyo? Naam, haya yaliandikwa kwa ajili yetu; maana yule anayelima na yule anayevuna, wote wawili wana haki ya kutumaini kupata sehemu ya mavuno.

1 Wakorintho 9

1 Wakorintho 9:4-12