1 Wakorintho 8:6 Biblia Habari Njema (BHN)

hata hivyo, kwetu sisi yuko Mungu mmoja tu; Baba, Muumba wa vyote, ambaye kwa ajili yake sisi tuko. Pia yuko Bwana mmoja tu, Yesu Kristo, ambaye kwa njia yake vitu vyote viliumbwa, na sisi twaishi kwa njia yake.

1 Wakorintho 8

1 Wakorintho 8:2-13