1 Wakorintho 8:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Maana, mtu ambaye dhamiri yake ni dhaifu, akikuona wewe mwenye ujuzi unakula vyakula hivyo ndani ya hekalu la sanamu, je, hatatiwa moyo wa kula vyakula vilivyotambikiwa sanamu?

1 Wakorintho 8

1 Wakorintho 8:5-13