1 Wakorintho 7:28 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini ikiwa utaoa hutakuwa umetenda dhambi; na msichana akiolewa hatakuwa ametenda dhambi. Hao watakaooana watapatwa na matatizo ya dunia hii, lakini mimi ningependa hayo yasiwapate nyinyi.

1 Wakorintho 7

1 Wakorintho 7:24-32