1 Wakorintho 7:22 Biblia Habari Njema (BHN)

Maana yeye aliyeitwa na Bwana akiwa mtumwa huyo huwa mtu huru wa Bwana. Hali kadhalika naye aliyeitwa akiwa mtu huru, huwa mtumwa wa Kristo.

1 Wakorintho 7

1 Wakorintho 7:18-32