1 Wakorintho 7:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa vyovyote kila mmoja na aishi kufuatana na vipaji alivyogawiwa na Bwana, na kama alivyoitwa na Mungu. Hili ndilo agizo langu kwa makanisa yote.

1 Wakorintho 7

1 Wakorintho 7:16-21