1 Wakorintho 5:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Nilichoandika ni hiki: Msishirikiane na ndugu Mkristo aliye mzinzi, mchoyo, mwenye kuabudu sanamu, mchongezi, mlevi na mlaghai. Mtu wa namna hiyo, hata kula msile naye.

1 Wakorintho 5

1 Wakorintho 5:2-13