1 Wakorintho 4:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, msihukumu kabla ya wakati wake; acheni mpaka Bwana atakapokuja. Yeye atayafichua mambo ya giza yaliyofichika, na kuonesha wazi nia za mioyo ya watu. Ndipo kila mmoja atapata sifa anayostahili kutoka kwa Mungu.

1 Wakorintho 4

1 Wakorintho 4:1-7