1 Wakorintho 4:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Mtu na atuone sisi kuwa ni watumishi wa Kristo tuliokabidhiwa siri za Mungu.

2. Kinachotakiwa kwa yeyote yule aliyekabidhiwa kazi ni kuwa mwaminifu.

1 Wakorintho 4