1 Wakorintho 3:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Maana, hekima ya kidunia ni upumbavu mbele ya Mungu. Kwani Maandiko Matakatifu yasema: “Mungu huwanasa wenye hekima katika ujanja wao.”

1 Wakorintho 3

1 Wakorintho 3:14-23