1 Wakorintho 2:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, sisi twafundisha, si kwa maneno tuliyofundishwa na hekima ya binadamu, bali kwa maneno tuliyofundishwa na Roho, tukifafanua mambo ya kiroho kwa walio na huyo Roho.

1 Wakorintho 2

1 Wakorintho 2:5-16