1 Wakorintho 2:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Nani awezaye kujua mambo ya ndani ya mtu isipokuwa roho yake mtu huyo? Hali kadhalika, hakuna ajuaye mambo ya Mungu isipokuwa Roho wa Mungu.

1 Wakorintho 2

1 Wakorintho 2:10-16