1 Wakorintho 15:54 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, mwili huu wenye kuharibika utakapojivalia hali ya kutoharibika, na kile chenye kufa kitakapojivalia hali ya kutokufa, hapo ndipo litakapotimia lile neno lililoandikwa: “Kifo kimeangamizwa; ushindi umekamilika!”

1 Wakorintho 15

1 Wakorintho 15:52-55