1 Wakorintho 15:50 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, ndugu, nasema hivi: Kile kilichofanywa kwa mwili na damu hakiwezi kuushiriki ufalme wa Mungu; na chenye kuharibika hakiwezi kuwa na hali ya kutoharibika.

1 Wakorintho 15

1 Wakorintho 15:40-56