1 Wakorintho 15:32 Biblia Habari Njema (BHN)

Kama kusudi langu lingalikuwa la kibinadamu tu, kule kupigana kwangu na wanyama wakali hapa Efeso kungalinifaa kitu gani? Kama wafu hawafufuki, basi, “Tule na tunywe, maana kesho tutakufa.”

1 Wakorintho 15

1 Wakorintho 15:27-35