1 Wakorintho 15:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Baada ya hayo, mwisho utafika wakati ambapo Kristo atamkabidhi Mungu Baba ufalme, baada ya kufutilia mbali kila tawala na mamlaka na nguvu.

1 Wakorintho 15

1 Wakorintho 15:23-28