1 Wakorintho 14:37 Biblia Habari Njema (BHN)

Kama mtu yeyote anadhani kwamba yeye ni mjumbe wa Mungu au kwamba anacho kipaji cha Roho, na ajue kwamba haya ninayowaandikia nyinyi ni amri ya Bwana.

1 Wakorintho 14

1 Wakorintho 14:28-40