1 Wakorintho 13:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Tena, naweza kuwa na kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu, nikafahamu siri zote na kujua kila kitu; naweza kuwa na imani yote hata nikaweza kuihamisha milima, lakini kama sina upendo mimi si kitu.

1 Wakorintho 13

1 Wakorintho 13:1-8