1 Wakorintho 13:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Tunachoona sasa ni kama tu sura hafifu katika kioo, lakini hapo baadaye tutaona uso kwa uso. Sasa ninajua kiasi fulani tu, lakini hapo baadaye nitajua yote kikamilifu, kama vile Mungu anavyonijua mimi.

1 Wakorintho 13

1 Wakorintho 13:3-13