1 Wakorintho 12:28 Biblia Habari Njema (BHN)

Mungu ameweka katika kanisa: Kwanza mitume, pili manabii, tatu waalimu; kisha ameweka wale wenye kipaji cha kufanya miujiza, kuponya na kusaidia; viongozi na wenye kusema lugha ngeni.

1 Wakorintho 12

1 Wakorintho 12:24-31