1 Wakorintho 12:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Kama sikio lingejisemea: “Kwa vile mimi si jicho, basi mimi si mali ya mwili,” je, kwa hoja hiyo lingekoma kuwa sehemu ya mwili? La!

1 Wakorintho 12

1 Wakorintho 12:14-21