1 Wakorintho 11:34 Biblia Habari Njema (BHN)

Na kama kuna yeyote aliye na njaa, na ale nyumbani kwake, ili kukutana kwenu kusisababishe hukumu. Lakini, kuhusu yale mambo mengine, nitawapeni maelezo nitakapokuja.

1 Wakorintho 11

1 Wakorintho 11:30-34