1 Wakorintho 11:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Vivyo hivyo, baada ya kula, akatwaa kikombe cha divai, akasema: “Hiki ni kikombe cha agano jipya linalothibitishwa kwa damu yangu. Fanyeni hivi, kila mnapokunywa, kwa kunikumbuka.”

1 Wakorintho 11

1 Wakorintho 11:17-29