1 Wakorintho 10:29 Biblia Habari Njema (BHN)

Nasema, “kwa ajili ya dhamiri,” si dhamiri yenu, bali dhamiri yake huyo aliyewaambieni.Mtaniuliza: “Kwa nini uhuru wangu utegemee dhamiri ya mtu mwingine?

1 Wakorintho 10

1 Wakorintho 10:26-33