1 Wakorintho 1:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Maana kinachoonekana kuwa ni upumbavu wa Mungu, kina busara kuliko hekima ya binadamu; na kinachoonekana kuwa ni udhaifu wa Mungu, kina nguvu kuliko nguvu za binadamu.

1 Wakorintho 1

1 Wakorintho 1:23-30