1 Wafalme 7:48 Biblia Habari Njema (BHN)

Solomoni alitengeneza vifaa vyote vilivyokuwa katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu: Madhabahu ya dhahabu, meza ya dhahabu kwa ajili ya mikate ya kuwekwa mbele ya Mungu,

1 Wafalme 7

1 Wafalme 7:44-51