1 Wafalme 7:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Hiramu aliziweka nguzo hizo kwenye sebule ya hekalu; nguzo aliyoisimika upande wa kusini iliitwa Yakini, na ile aliyoisimika upande wa kaskazini iliitwa Boazi.

1 Wafalme 7

1 Wafalme 7:12-31