1 Wafalme 22:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Hapo, Sedekia, mwana wa Kenaana, akamkaribia Mikaya, akampiga kofi shavuni na kumwuliza, “Tangu lini Roho ya Mwenyezi-Mungu ikaniacha mimi, ikaja kunena nawe?”

1 Wafalme 22

1 Wafalme 22:21-30