1 Wafalme 17:6-8 Biblia Habari Njema (BHN)

6. Kunguru wakawa wanamletea mkate na nyama, asubuhi na jioni; akapata na maji ya kunywa katika kijito hicho.

7. Lakini, baada ya siku chache kijito kikakauka kwa sababu hapakunyesha mvua nchini.

8. Hapo, neno la Mwenyezi-Mungu, lilimjia Elia:

1 Wafalme 17