1 Wafalme 13:31 Biblia Habari Njema (BHN)

Baada ya mazishi, nabii huyo akawaambia wanawe, “Nikifa, nizikeni katika kaburi hilihili alimozikwa mtu wa Mungu; mifupa yangu kando ya mifupa yake.

1 Wafalme 13

1 Wafalme 13:29-34