1 Wafalme 11:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa hiyo Mwenyezi-Mungu akamwambia Solomoni, “Kwa kuwa umeamua kufanya hivyo, ukavunja agano langu nawe, na kuasi amri zangu nilizokupa, hakika nitakunyanganya huo utawala na kumpa mtumishi wako.

1 Wafalme 11

1 Wafalme 11:6-16