1 Timotheo 6:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini wale wanaotaka kutajirika huanguka katika majaribu, na kunaswa katika mtego wa tamaa nyingi mbaya za kipumbavu, ambazo huwavuta mpaka kwenye uharibifu na maangamizi.

1 Timotheo 6

1 Timotheo 6:8-11