1 Timotheo 4:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Kama ukiwapa ndugu wote maagizo haya, utakuwa mtumishi mwema wa Kristo Yesu, ukijiendeleza kiroho kwa maneno ya imani na mafundisho ya kweli ambayo wewe umeyafuata.

1 Timotheo 4

1 Timotheo 4:5-16