1 Timotheo 3:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Hakuna mashaka yoyote juu ya ukuu wa siri ya dini yetu:Alionekana katika umbo la kibinadamu,alithibitishwa na Roho kuwa ni mwadilifu,akaonekana na malaika.Alihubiriwa kati ya mataifa,aliaminiwa ulimwenguni,akachukuliwa juu katika utukufu.

1 Timotheo 3

1 Timotheo 3:14-16