Hakuna mashaka yoyote juu ya ukuu wa siri ya dini yetu:Alionekana katika umbo la kibinadamu,alithibitishwa na Roho kuwa ni mwadilifu,akaonekana na malaika.Alihubiriwa kati ya mataifa,aliaminiwa ulimwenguni,akachukuliwa juu katika utukufu.