1 Timotheo 1:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwanangu Timotheo, nakukabidhi amri hii kufuatana na maneno ya unabii yaliyosemwa zamani juu yako. Yatumie maneno hayo yawe silaha yako katika kupigana vita vizuri,

1 Timotheo 1

1 Timotheo 1:17-20