1 Samueli 9:27 Biblia Habari Njema (BHN)

Walipofika mwisho wa mji, Samueli akamwambia Shauli, “Mwambie huyo kijana atangulie mbele yetu.” Kijana alipokwisha ondoka, Samueli akaendelea kusema, “Ngoja kidogo, nami nitakufunulia yale aliyosema Mungu.”

1 Samueli 9

1 Samueli 9:21-27