1 Samueli 9:22 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha Samueli akampeleka Shauli na mtumishi wake sebuleni, akawapa mahali pa heshima, ambako wageni walioalikwa walikuwa wamekaa. Kulikuwa na wageni wapatao thelathini.

1 Samueli 9

1 Samueli 9:20-27