1 Samueli 9:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Samueli akamjibu; “Mimi ndiye mwonaji. Nitangulieni kwenda mahali pa juu kwani leo mtakula pamoja nami. Kesho asubuhi maswali yote uliyo nayo nitayajibu.

1 Samueli 9

1 Samueli 9:9-27