1 Samueli 9:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Katika kabila la Benyamini, kulikuwa na mtu mmoja tajiri aliyeitwa Kishi. Yeye alikuwa mtoto wa Abieli, mwana wa Zero, mwana wa Bekorathi, mwana wa Afia Mbenyamini.

1 Samueli 9

1 Samueli 9:1-5