1 Samueli 8:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini jambo la Waisraeli kutaka wapewe mfalme wa kuwatawala, halikumpendeza Samueli. Naye akamwomba Mwenyezi-Mungu.

1 Samueli 8

1 Samueli 8:4-12