1 Samueli 7:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha, alikuwa akirudi Rama, maana huko kulikuwa nyumbani kwake; aliwaamulia Waisraeli haki zao huko, na kumjengea Mwenyezi-Mungu madhabahu huko.

1 Samueli 7

1 Samueli 7:13-17