1 Samueli 6:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Chukueni sanduku la Mwenyezi-Mungu na kuliweka katika gari hilo. Kando ya sanduku wekeni vile vinyago vya dhahabu ambavyo mnampelekea kama sadaka ya kuondoa hatia yenu. Kisha mliache liende litakakokwenda.

1 Samueli 6

1 Samueli 6:1-9