1 Samueli 6:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Walifanya kama walivyoambiwa; waliwachukua ng'ombe wawili wanaokamuliwa na kuwafunga kwenye gari, na ndama wao wakawafunga zizini.

1 Samueli 6

1 Samueli 6:1-18